Skip to content
Yohana 1:6-8

Yohana 1:6-8

6
Alikuja mtu mmoja aliyetumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana.
7
Alikuja kama shahidi apate kuishuhudia hiyo nuru, ili kwa kupitia kwake watu wote waweze kuamini.
8
Yeye mwenyewe hakuwa ile nuru, bali alikuja kuishuhudia hiyo nuru.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options