Skip to content
Yohana 1:26-28

Yohana 1:26-28

26
Yohana akawajibu, “Mimi ninabatiza kwa maji, lakini katikati yenu yupo mtu msiyemjua.
27
Yeye ajaye baada yangu, sistahili hata kufungua kamba za viatu vyake.”
28
Mambo haya yote yalitukia huko Bethania, ngʼambo ya Mto Yordani, mahali Yohana alipokuwa akibatiza.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options