Skip to content
Yoeli 3:5-6

Yoeli 3:5-6

5
Kwa kuwa mlichukua fedha na dhahabu yangu pia mkabeba hazina zangu nzuri sana mkapeleka kwenye mahekalu yenu.
6
Mliwauza watu wa Yuda na Yerusalemu kwa Wayunani, ili kwamba mpate kuwapeleka mbali na nchi yao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options