Skip to content
Yoeli 2:30-31

Yoeli 2:30-31

30
Nami nitaonyesha maajabu katika mbingu na duniani: damu, moto na mawimbi ya moshi.
31
Jua litageuzwa kuwa giza na mwezi kuwa mwekundu kama damu, kabla ya kuja siku ya Bwana ile kuu na ya kutisha.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options