Skip to content
Yoeli 1:1-3

Kichwa na Mwito wa Kuzingatia

Yoeli 1:1-3
1
Neno la Bwana ambalo lilimjia Yoeli mwana wa Pethueli.
2
Sikilizeni hili, enyi wazee; sikilizeni, ninyi nyote mnaoishi katika nchi. Je, jambo kama hili lilishawahi kutokea katika siku zenu au katika siku za babu zenu?
3
Waelezeni watoto wenu, na watoto wenu wawaambie watoto wao, na watoto wao kwa kizazi kitakachofuata.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options