Skip to content
Ayubu 9:7-9

Ayubu 9:7-9

7
Husema na jua, nalo likaacha kuangaza; naye huizima mianga ya nyota.
8
Yeye peke yake huzitandaza mbingu na kuyakanyaga mawimbi ya bahari.
9
Yeye ndiye Muumba wa nyota za Dubu, na Orioni, Kilimia, na makundi ya nyota za kusini.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options