Ayubu 9:4-8
4
Hekima yake ni kubwa sana na ana uwezo mwingi mno. Ni nani aliyempinga naye akawa salama?
5
Aiondoa milima bila yenyewe kujua na kuipindua kwa hasira yake.
6
Aitikisa dunia kutoka mahali pake na kuzifanya nguzo zake zitetemeke.
7
Husema na jua, nalo likaacha kuangaza; naye huizima mianga ya nyota.
8
Yeye peke yake huzitandaza mbingu na kuyakanyaga mawimbi ya bahari.
Settings