Ayubu 9:28-31
28
bado ninahofia mateso yangu yote, kwa kuwa ninajua hutanihesabu kuwa sina hatia.
29
Kwa kuwa nimeonekana mwenye hatia, kwa nini basi nitaabishwe bure?
30
Hata kama ningejiosha kwa sabuni na kutakasa mikono yangu kwa magadi,
31
wewe ungenitupa kwenye shimo la utelezi kiasi kwamba hata nguo zangu zingenichukia sana.
Settings