Skip to content
Ayubu 9:10-12

Ayubu 9:10-12

10
Hutenda maajabu yasiyopimika, miujiza isiyoweza kuhesabiwa.
11
Anapopita karibu nami, siwezi kumwona; apitapo mbele yangu, simtambui.
12
Anapochukua kwa ghafula, ni nani awezaye kumzuia? Ni nani awezaye kumwambia, ‘Unafanya nini?’
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options