Skip to content
Ayubu 9:10-12

Ayubu 9:10-12

10
Hutenda maajabu yasiyopimika, miujiza isiyoweza kuhesabiwa.
11
Anapopita karibu nami, siwezi kumwona; apitapo mbele yangu, simtambui.
12
Anapochukua kwa ghafula, ni nani awezaye kumzuia? Ni nani awezaye kumwambia, ‘Unafanya nini?’
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options