Skip to content
Ayubu 8:20-22

Ayubu 8:20-22

20
“Hakika Mungu hamkatai mtu asiye na hatia, wala kuitia nguvu mikono ya mtenda mabaya.
21
Bado atakijaza kinywa chako na kicheko, na midomo yako na kelele za shangwe.
22
Adui zako watavikwa aibu, nazo hema za waovu hazitakuwepo tena.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options