Skip to content
Ayubu 7:6-10

Ayubu 7:6-10

6
“Siku zangu zinapita upesi kuliko mtande wa kufuma, nazo zinafikia mwisho wake bila matumaini.
7
Kumbuka, Ee Mungu, maisha yangu ni kama pumzi; macho yangu kamwe hayataona tena raha.
8
Lile jicho linaloniona sasa halitaniona tena; utanitafuta, wala sitakuwepo.
9
Kama vile wingu liondokavyo na kutoweka, vivyo hivyo yeye ashukaye kaburini harudi tena.
10
Kamwe harudi tena nyumbani mwake; wala mahali pake hapatamjua tena.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options