Skip to content
Ayubu 6:8-10

Ayubu 6:8-10

8
“Laiti ningepata haja yangu, kwamba Mungu angenijalia hilo nililotarajia,
9
kwamba Mungu angekuwa radhi kuniponda, kuuachia mkono wake na kunikatilia mbali!
10
Ndipo bado ningekuwa na hii faraja, furaha yangu katika maumivu makali: kwamba sikuwa nimeyakana maneno yake yeye Aliye Mtakatifu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options