Ayubu 6:8-10
8
“Laiti ningepata haja yangu, kwamba Mungu angenijalia hilo nililotarajia,
9
kwamba Mungu angekuwa radhi kuniponda, kuuachia mkono wake na kunikatilia mbali!
10
Ndipo bado ningekuwa na hii faraja, furaha yangu katika maumivu makali: kwamba sikuwa nimeyakana maneno yake yeye Aliye Mtakatifu.