Ayubu 6:24-26
24
“Nifundisheni, nami nitanyamaza kimya; nionyesheni nilikokosea.
25
Tazama yalivyo ya kuumiza maneno ya kweli! Lakini mabishano yenu yanathibitisha nini?
26
Je, mna maana ya kuyasahihisha ninayosema, na kuyafanya maneno ya mtu anayekata tamaa kama upepo?