Skip to content
Ayubu 6:18-19

Ayubu 6:18-19

18
Misafara hugeuka kutoka njia zake; hukwea kwenda kwenye nchi ya ukiwa na kuangamia.
19
Misafara ya Tema inatafuta maji, wafanyabiashara wa Sheba wanaosafiri hutazama kwa matarajio.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options