Skip to content
Ayubu 6:17-20

Ayubu 6:17-20

17
lakini hukauka majira ya ukame, na wakati wa hari hutoweka katika mikondo yake.
18
Misafara hugeuka kutoka njia zake; hukwea kwenda kwenye nchi ya ukiwa na kuangamia.
19
Misafara ya Tema inatafuta maji, wafanyabiashara wa Sheba wanaosafiri hutazama kwa matarajio.
20
Wamedhikika, kwa sababu walikuwa na matumaini; wanafika huko, lakini wanahuzunika kwa kukosa walichotarajia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options