Ayubu 6:15-17
15
Lakini ndugu zangu sio wa kutegemewa, ni kama vijito vya msimu, ni kama vijito ambavyo hufurika
16
wakati vimefunikwa barafu iyeyukayo, ambavyo hujazwa na theluji inayoyeyuka,
17
lakini hukauka majira ya ukame, na wakati wa hari hutoweka katika mikondo yake.