Ayubu 41:19-21
19
Mienge iwakayo humiminika kutoka kinywani mwake; cheche za moto huruka nje.
20
Moshi hufuka kutoka puani mwake, kama kutoka kwenye chungu kinachotokota kwa moto wa matete.
21
Pumzi yake huwasha makaa ya mawe, nayo miali ya moto huruka kutoka kinywani mwake.