Ayubu 41:18-21
18
Akipiga chafya mwanga humetameta; macho yake ni kama mionzi ya mapambazuko.
19
Mienge iwakayo humiminika kutoka kinywani mwake; cheche za moto huruka nje.
20
Moshi hufuka kutoka puani mwake, kama kutoka kwenye chungu kinachotokota kwa moto wa matete.
21
Pumzi yake huwasha makaa ya mawe, nayo miali ya moto huruka kutoka kinywani mwake.
Settings