Ayubu 41:15-17
15
Mgongo wake una safu za ngao zilizoshikamanishwa imara pamoja;
16
kila moja iko karibu sana na mwenzake, wala hakuna hewa iwezayo kupita kati yake.
17
Zimeunganishwa imara kila moja na nyingine; zimengʼangʼaniana pamoja wala haziwezi kutenganishwa.