Ayubu 40:6-10
6
Ndipo Bwana akasema na Ayubu kutoka upepo wa kisulisuli:
7
“Jikaze kama mwanaume; nitakuuliza maswali, nawe yakupasa unijibu.
8
“Je, utabatilisha hukumu yangu? Utanilaumu mimi ili kujihesabia haki mwenyewe?
9
Je, una mkono kama wa Mungu, nawe waweza kutoa sauti ya ngurumo kama yake?
10
Basi jivike mwenyewe utukufu na fahari, nawe uvae heshima na enzi.
Settings