Hoppa till innehåll
Ayubu 38:8-11

Ayubu 38:8-11

8
“Ni nani aliyeifungia bahari milango ilipopasuka kutoka tumbo,
9
nilipoyafanya mawingu kuwa vazi lake, na kuyafungia katika giza nene,
10
nilipoamuru mipaka yake, na kuiweka milango yake na makomeo mahali pake,
11
niliposema, ‘Unaweza kufika mpaka hapa wala si zaidi; hapa ndipo mawimbi yako yenye kiburi yatakapokomea’?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options