Udhibiti wa nuru, wakati na utaratibu wa maadili
12
“Umepata kuiamrisha asubuhi ipambazuke, au kuyaonyesha mapambazuko mahali pake,
13
yapate kushika miisho ya dunia, na kuwakungʼuta waovu waliomo?
14
Dunia hubadilika kama udongo wa mfinyanzi chini ya lakiri; sura yake hukaa kama ile ya vazi.
15
Waovu huzuiliwa nuru yao, nao mkono wao ulioinuliwa huvunjwa.
Settings