Skip to content
Ayubu 38:25-27

Ayubu 38:25-27

25
Ni nani aliyepasua mifereji kwa ajili ya maji mengi ya mvua yaendayo kasi na njia ya umeme wa radi,
26
ili kusababisha mvua kunyeshea mahali pasipokaliwa na mtu, jangwa lisilo na yeyote ndani yake,
27
ili kuitosheleza nchi ya ukiwa na jangwa, na majani yaanze kumea ndani yake?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options