Skip to content
Ayubu 38:12-14

Ayubu 38:12-14

12
“Umepata kuiamrisha asubuhi ipambazuke, au kuyaonyesha mapambazuko mahali pake,
13
yapate kushika miisho ya dunia, na kuwakungʼuta waovu waliomo?
14
Dunia hubadilika kama udongo wa mfinyanzi chini ya lakiri; sura yake hukaa kama ile ya vazi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options