Ayubu 36:27-30
27
“Yeye huvuta juu matone ya maji, ayachujayo kama mvua kutoka kwenye vijito;
28
mawingu huangusha chini maji yake, nayo mvua nyingi huwanyeshea wanadamu.
29
Ni nani ajuaye jinsi ayatandazavyo mawingu, jinsi angurumavyo kutoka hemani mwake.
30
Tazama jinsi anavyotandaza umeme wa radi kumzunguka, naye huvifunika vilindi vya bahari.
Settings