Ayubu 35:6-8
6
Je, ukitenda dhambi, inamdhuruje Mungu? Kama dhambi zako zikiwa nyingi, hilo linamfanyia nini Mungu?
7
Kama wewe ni mwadilifu, unampa nini, au yeye anapokea nini mkononi kwako?
8
Uovu wako unamdhuru tu mtu mwingine kama wewe, nayo haki yako inawafaa wanadamu tu.