Ayubu 34:25-27
25
Kwa sababu huyaangalia matendo yao yote, huwaondoa usiku, nao wakaangamia.
26
Anawaadhibu kwa ajili ya uovu wao mahali ambapo kila mmoja ataweza kuwaona,
27
kwa sababu wameacha kumfuata Mungu, nao hawakuiheshimu njia yake hata moja.