Skip to content
Ayubu 32:18-20

Ayubu 32:18-20

18
Kwa kuwa nimejawa na maneno, nayo Roho iliyomo ndani yangu yanisukuma;
19
ndani yangu niko kama chupa iliyojazwa divai, kama kiriba kipya cha divai kilicho tayari kupasuka.
20
Ni lazima niseme ili niweze kutulia; ni lazima nifumbue midomo yangu nipate kujibu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options