Gå til innhold
Ayubu 28:20-22

Ayubu 28:20-22

20
“Ni wapi basi hekima itokako? Ufahamu hukaa wapi?
21
Imefichika machoni pa kila kitu kilicho hai, imesitiriwa hata kwa ndege wa angani.
22
Uharibifu na Mauti husema, ‘Ni uvumi wake tu uliotufikia masikioni mwetu.’
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options