Ayubu 28:28
Inaonyesha mstari 28 pamoja na muktadha unaouzunguka.
25
Alipofanyiza nguvu za upepo na kuyapima maji,
26
alipofanya maagizo kwa ajili ya mvua na njia kwa ajili ya umeme wa radi,
27
ndipo alipoitazama hekima na kuikadiria thamani yake, akaithibitisha na kuihakikisha.
28
Naye Mungu akamwambia mwanadamu, ‘Kumcha Bwana: hiyo ndiyo hekima, nako kujitenga na uovu ndio ufahamu.’ ”
Settings