Skip to content
Ayubu 28:12-14

Ayubu 28:12-14

12
“Lakini hekima inaweza kupatikana wapi? Ufahamu unakaa wapi?
13
Mwanadamu hatambui thamani yake; haiwezi kupatikana katika nchi ya walio hai.
14
Kilindi husema, ‘Haiko ndani yangu’; bahari nayo husema, ‘Haiko pamoja nami.’
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options