Ayubu 27:4-6
4
midomo yangu haitanena uovu, wala ulimi wangu hautatamka udanganyifu.
5
Sitakubaliana nanyi kabisa kuwa mko sahihi; hadi nife, sitakana uadilifu wangu.
6
Nitadumisha haki yangu wala sitaiacha; dhamiri yangu haitanisuta muda wote ninaoishi.