Skip to content
Ayubu 27:4-6

Ayubu 27:4-6

4
midomo yangu haitanena uovu, wala ulimi wangu hautatamka udanganyifu.
5
Sitakubaliana nanyi kabisa kuwa mko sahihi; hadi nife, sitakana uadilifu wangu.
6
Nitadumisha haki yangu wala sitaiacha; dhamiri yangu haitanisuta muda wote ninaoishi.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options