Ayubu 26:5-9
5
“Wafu wako katika maumivu makuu, wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.
6
Mauti iko wazi mbele za Mungu; Uharibifu haukufunikwa.
7
Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu; naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.
8
Huyafungia maji kwenye mawingu yake, hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.
9
Huufunika uso wa mwezi mpevu, akitandaza mawingu juu yake.
Settings