Skip to content
Ayubu 25:1

Hotuba ya mwisho fupi ya Bildadi

Ayubu 25:1
Inaonyesha mstari 1 pamoja na muktadha unaouzunguka.
1
Ndipo Bildadi Mshuhi akajibu:
2
“Mamlaka na kuheshimiwa ni vyake Mungu; yeye huthibitisha amani katika mbingu juu.
3
Je, majeshi yake yaweza kuhesabika? Ni nani asiyeangaziwa na nuru yake?
4
Mtu awezaje kuwa mwadilifu mbele za Mungu? Awezaje mtu aliyezaliwa na mwanamke kuwa safi?
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options