Ayubu 24:2-4
2
Watu husogeza mawe ya mpaka; huchunga makundi ya wanyama waliyonyangʼanya kwa nguvu.
3
Huwanyangʼanya yatima punda wao, na kumchukua rehani fahali wa mjane.
4
Humsukuma mhitaji kutoka njia, na kuwafanya maskini wote wa nchi kulazimika kujificha.