Ayubu 23:10-12
10
Lakini anaijua njia niiendeayo; akiisha kunijaribu, nitatoka kama dhahabu.
11
Nyayo zangu zimefuata hatua zake kwa karibu; nimeishika njia yake bila kukengeuka.
12
Sijaziacha amri zilizotoka midomoni mwake; nimeyathamini maneno ya kinywa chake kuliko chakula changu cha kila siku.