Skip to content
Ayubu 22:5-9

Ayubu 22:5-9

5
Je, uovu wako si mkuu? Dhambi zako si hazina mwisho?
6
Umedai dhamana kwa ndugu zako bila sababu; umewavua watu nguo zao, ukawaacha uchi.
7
Hukumpa maji aliyechoka, nawe ulimnyima chakula mwenye njaa,
8
ingawa ulikuwa mtu mwenye uwezo ukimiliki nchi: mtu uliyeheshimiwa, ukiishi ndani yake.
9
Umewafukuza wajane mikono mitupu na kuzivunja nguvu za yatima.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options