Skip to content
Ayubu 20:14-15

Ayubu 20:14-15

14
Hata hivyo chakula chake kitakuwa kichungu tumboni mwake, nacho kitakuwa sumu kali ya nyoka ndani yake.
15
Atatema mali alizozimeza; Mungu atalifanya tumbo lake kuzitapika.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options