Skip to content
Ayubu 16:6-7

Ayubu 16:6-7

6
“Lakini kama nikisema, maumivu yangu bado hayatulizwi; nami kama nikijizuia, wala hayaondoki.
7
Ee Mungu, hakika umenichakaza; umewaangamiza kabisa watu wa nyumbani mwangu wote.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options