Skip to content
Ayubu 15:7-10

Ayubu 15:7-10

7
“Je, wewe ni mtu wa kwanza kuzaliwa? Ulizaliwa kabla ya vilima?
8
Je, wewe husikiliza mashauri ya siri ya Mungu? Je, wewe unaizuia hekima iwe yako mwenyewe?
9
Wewe unajua kitu gani tusichokijua sisi? Unafahamu kitu gani tusichokifahamu sisi?
10
Wale wenye mvi na wazee wako upande wetu, watu ambao ni wazee hata kuliko baba yako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options