Ayubu 13:7-10
7
Je, mtazungumza kwa uovu kwa niaba ya Mungu? Je, mtazungumza kwa udanganyifu kwa niaba yake?
8
Mtamwonyesha upendeleo? Mtamtetea Mungu kwenye mashtaka yake?
9
Je, ingekuwa vyema Mungu akiwahoji ninyi? Je, mngeweza kumdanganya kama ambavyo mngeweza kuwadanganya wanadamu?
10
Hakika angewakemea kama mkiwapendelea watu kwa siri.
Settings