Ayubu 11:7-9
7
“Je, waweza kujua siri za Mungu? Je, waweza kuyachunguza mambo yote kumhusu Mwenyezi?
8
Ni juu mno kuliko mbingu: waweza kufanya nini? Kina chake ni kirefu kuliko kuzimu: wewe waweza kujua nini?
9
Kipimo chake ni kirefu kuliko dunia, nacho ni kipana kuliko bahari.