Skip to content
Ayubu 11:7-8

Ayubu 11:7-8

7
“Je, waweza kujua siri za Mungu? Je, waweza kuyachunguza mambo yote kumhusu Mwenyezi?
8
Ni juu mno kuliko mbingu: waweza kufanya nini? Kina chake ni kirefu kuliko kuzimu: wewe waweza kujua nini?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options