Skip to content
Ayubu 11:5-6

Ayubu 11:5-6

5
Aha! Laiti kwamba Mungu angesema, kwamba angefungua midomo yake dhidi yako,
6
naye akufunulie siri za hekima, kwa kuwa hekima ya kweli ina pande mbili. Ujue hili: Mungu amesahau hata baadhi ya dhambi zako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options