Skip to content
Ayubu 11:2-3

Ayubu 11:2-3

2
“Je, maneno haya yote yapite bila kujibiwa? Je, huyu mnenaji athibitishwe kuwa na haki?
3
Je, maneno yako ya upuzi yawafanye watu wanyamaze kimya? Je, mtu asikukemee unapofanya dhihaka?
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options