Rukia maudhui
Ayubu 1:20-22

Uaminifu wa Ayubu

Ayubu 1:20-22
20
Ndipo Ayubu akasimama, akararua joho lake na kunyoa nywele zake. Kisha akaanguka chini katika kuabudu
21
na kusema: “Nilitoka tumboni mwa mama yangu uchi, nami nitaondoka uchi, Bwana alinipa, naye Bwana ameviondoa, jina la Bwana litukuzwe.”
22
Katika mambo haya yote, Ayubu hakutenda dhambi kwa kumlaumu Mungu kwa kufanya ubaya.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options