Rukia maudhui
Ayubu 1:20-21

Ayubu 1:20-21

20
Ndipo Ayubu akasimama, akararua joho lake na kunyoa nywele zake. Kisha akaanguka chini katika kuabudu
21
na kusema: “Nilitoka tumboni mwa mama yangu uchi, nami nitaondoka uchi, Bwana alinipa, naye Bwana ameviondoa, jina la Bwana litukuzwe.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options