Rukia maudhui
Yeremia 9:23-24

Msingi wa Kweli wa Kujisifu

Yeremia 9:23-24
23
Hili ndilo asemalo Bwana: “Mwenye hekima asijisifu katika hekima yake, au mwenye nguvu ajisifu katika nguvu zake, wala tajiri ajisifu katika utajiri wake,
24
lakini yeye ajisifuye, na ajisifu kwa sababu hili: kwamba ananifahamu na kunijua mimi, kwamba mimi ndimi Bwana, nitendaye wema, hukumu na haki duniani, kwa kuwa napendezwa na haya,” asema Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options