Skip to content
Yeremia 9:13-14

Yeremia 9:13-14

13
Bwana akasema, “Ni kwa sababu wameiacha sheria yangu, niliyoiweka mbele yao: hawajaniheshimu mimi wala kufuata sheria yangu.
14
Badala yake wamefuata ukaidi wa mioyo yao, wamefuata Mabaali, kama vile baba zao walivyowafundisha.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options