Skip to content
Yeremia 52:33-34

Yeremia 52:33-34

33
Hivyo Yehoyakini akayavua mavazi yake ya mfungwa, na siku zote za maisha yake zilizobaki alikula mezani mwa mfalme.
34
Siku kwa siku mfalme wa Babeli alimpa Yehoyakini posho siku zote za maisha yake, hadi siku ya kifo chake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options